Namungo, Yanga za mponza mwamuzi Abel William
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), imempeleka mwamuzi Abel William kwenye kamati ya waamuzi akajadiliwe katika kamati hiyo baada ya kuonekana alifanya makosa ya kutafsiri sheria 17 za soka kwenye mchezo wa Ligi Kuu kati ya Namungo dhidi ya Yanga