Rais Museveni kumkabidhi Rais Samia shule Chato

Rais wa Uganda Yoweri Museveni (kushoto) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu (kulia)

Rais wa Uganda Yoweri Museveni anatarajia kuwasili wilayani Chato Novemba 29, 2021 kwaajili ya kumkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan shule ya msingi Museveni ya mchepuo wa Kiingereza iliyojengwa na serikali ya Uganda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS