Walimu wachangia vyoo na wanafunzi 500 Picha ya mfano wa vyoo Zaidi ya wanafunzi 500 wa Shule ya Msingi Omunga, kakika Wilaya ya Rorya, mkoani Mara, wanalazimika kuchangia vyoo na walimu wao kutokana na shule kukosa vyoo vya kutosha. Read more about Walimu wachangia vyoo na wanafunzi 500