Mawifi na mashemeji wamdhulumu shamba mjane
Mwanamke mmoja mjane Rukia Kisengo (63), mkazi wa Kijiji cha Maguruwe Kata ya Msimbu wilayani Kisarawe Pwani ameongea na EATV na kutoa malalamiko yake baada ya kudhulumiwa shamba lenye ukubwa wa hekari 8 na watu aliowataja kuwa ni shemeji zake.