Kushoto ni Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, na kulia ni mwonekano mpya wa Coco Beach
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, ameusifia mradi wa kuendeleza ufukwe wa Coco, baada ya kutengenezwa vibanda vya kisasa katika eneo ambalo hufanyika biashara ya mihogo.