(Kikosi cha Yanga cha msimu huu wa mwaka 2021-2022)
Kocha wa Yanga, Mtunisia Mohammed Nasreddine Nabi amesema mchezo dhidi ya Mbeya Kwanza wa Ligi kuu NBC Tanzania utakaichezwa Novemba 30, 2021 utakuwa mchezo mgumu lakini anahitaji ushindi kila mechi.