Yanga SC yafika Mwanza, tayari kuivaa Mbao FC

Mashabiki wa Yanga SC jijini Mwanza wakimlaki kocha Nasreddine Nabi uwanja wa ndge baada ya timu kufika

Kikosi cha timu ya wananchi Yanga SC kimefika jijini Mwanza tayari kwa mchezo wa raundi ya 4 wa kombe la shirikisho Tanzania bara Azam Sports Federation Cup dhidi ya Mbao FC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS