Kariakoo kufungwa CCTV Camera

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omary Kumbilamoto

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omary Kumbilamoto, amesema kuwa bajeti ya Jiji itakayopitishwa kwa mwezi Desemba, watahakikisha wanapambana kuingiza bajeti ya kununua CCTV camera na taa zitakazofungwa katika soko la Kariakoo ili liwe eneo salama zaidi kwa wafanyabiashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS