Tumeongeza uhai wa mtu - Rais Samia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba katika kuelekea kutimiza miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika, nchi imepata mafanikio mbalimbali ikiwemo kupunguza kiwango cha umaskini kwa wananchi pamoja na kuongeza umri wa kuishi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS