(Kocha Mkuu wa SImba SC, Pabo Franco Martin akiwa mazoezini)
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba, Mhispania Franco Pablo Martin amesema anawashukuru sana mashabiki wa Simba kwa kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo uliopita lakini anawaomba waje kwa wingi kwenye mchezo ujao.