Waliopata mimba shuleni kurejeshwa masomoni
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru Serikali imeamua kuwarejesha shuleni wanafunzi wote walioacha masomo kwa kupata ujauzito na utoro.