Waliopata mimba shuleni kurejeshwa masomoni

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amesema katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru Serikali imeamua kuwarejesha shuleni wanafunzi wote walioacha masomo kwa kupata ujauzito na utoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS