Kagera kupoteza bilioni 53.4 kisa Chato

Sehemu ya eneo la mkoa wa Kagera

Mkoa wa Kagera utapoteza zaidi ya shilingi Bilioni 53.4 kwa mwaka, zinazopatikana kutokana na mauzo ya dhahabu, endapo wilaya za Ngara na Biharamulo zitamegwa kwa ajili ya kuunda mkoa mpya wa Chato.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS