Gundu la mabingwa watetezi AFCON laendelea Wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria Algeria yavuliwa ubingwa wa michuano ya matiafa barani Afrika AFCON baada ya kufungwa mabao 3-1 kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi na wamemaliza wa mwisho kwenye kundi E wakiwa na Alama 1. Read more about Gundu la mabingwa watetezi AFCON laendelea