Gundu la mabingwa watetezi AFCON laendelea

Wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria

Algeria yavuliwa ubingwa wa michuano ya matiafa barani Afrika AFCON baada ya kufungwa mabao 3-1 kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi na wamemaliza wa mwisho kwenye kundi E wakiwa na Alama 1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS