Keister apokea vitisho vya kuuawa

Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Sierra Leone, John Keister (Kulia) akikabidhiwa jezi baada ya kutambulishwa.

Kuelekea mashindano ya AFCON yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kuanzia Januari 9, Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Sierra Leone, John Keister ameweka wazi kuwa amepokea vitisho vya kuuawa kabla ya kutangaza kikosi cha cha taifa hilo kwa ajili ya michuano kombe la Mataifa ya Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS