CS Constantine yaagizwa na FIFA kumlipa Shaiboub

Shaiboub Sharaf akiwa mazoezini

Shirikisho lenye dhamana ya kuongoza soka ulimwenguni (FIFA) imeiamuru klabu ya  CS Constantine kumlipa fedha anazodai Kiungo walieachana nae, Sharaf Eldin Shaiboub Ali Abdelrahman ndani ya siku 45 hii ni baada ya kumvunjia mkataba wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS