'Sports Countdown' ya EA Radio Julai 1

Nyota wa Scotland, Andy Murray akiwa mchezoni dhidi ya Oscar Otte kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa tenisi Wmbledon usiku wa kuamkia leo.

'SPORT COUNTDOWN' ya East Africa redio ya leo Julai 1,2021. Ni dondoo za michezo zinazokujia lika siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa moja na robo kutoka kipindi cha Super breakfast kutoka kwa wachambuzi wako Ibrahim Kasuga 'Mtaalam wa soka' na Abissay Stephen Jr.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS