Benitez kocha mpya Everton, aweka rekodi Kocha mpya wa Everton Raphael Benitez Rasmi Raphael Benitez ametangazwa kuwa Kocha mpya wa klabu ya Everton ya England baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatau (3) utakao muweka katika dimba la Goodison Park hadi mwaka 2024. Read more about Benitez kocha mpya Everton, aweka rekodi