Usipitwe na Sports Count down ya EA Radio

Cristiano Ronaldo akihuzunika baada ya timu yake kuondolewa kwenye michuano ya UEFA EUROS kwenye hatua ya 16 bora baada ya kufungwa 1-0 dhidi ya Ubelgiji usiku wa jana.

Sports Coundown ni dondoo za michezo zinazokujia kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa moja na robo kwa mfumo wa namba ambazo zinatafsiri ya kubeba taarifa kuhusiana na yale yaliyojiri usiku wa jana, watakayojiri siku hiyo na yale ambayo yatajiri kwa siku zijazo kupitia EA Radio

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS