DC Kheri aagiza mikakati shirikishi ya Elimu

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kheri James

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kheri James amesema mijadala inayohusu elimu katika wilaya hiyo haitaangalia kama mwananchi ana elimu kiasi gani au la kwani mikakati inayopaswa kuwekwa kwenye elimu inapaswa kuchangiwa na watu wote kwa faida ya jamii nzima.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS