Mobetto na Samatta wateuliwa

Pichani Hamisa Mobetto na Mbwana Samatta

Waziri wa fedha na mipango nchini, Dkt. Mwigulu Nchemba amewateua, mwanamitindo Hamisa Mobetto , mchezaji wa mpira wa miguu Mbwana Samatta na mchambuzi wa soka Edo Kumwembe.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS