Recho afunguka kuachwa kisa Madawa

Msanii Recho Kizunguzungu

Msanii Recho Kizunguzungu amenyoosha maelezo ya stori ambazo zilikuwa zinasemekana kwamba anatumia madawa ya kulevya kwa kusema taarifa hizo zilimfanya kuachwa na Boyfriend wake na kukosa dili la kumuingizia pesa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS