Hukumu ya Mkude yaghairishwa mpaka akapimwe Afya

Kiungo wa wekundu wa msimbazi Simba, Jonas Mkude anayetuhumiwa kwa kuwa na utovu wa nidhamu klabuni kwa mara ya pili.

Kamati ya nidhamu ya klabu ya Simba imeghairisha tena hukumu ya mchezaji wake Jonas Mkude iliyopangwa  kusomwa Juni 7, 2021 juu ya tuhuma za utovu wa nidhamu anazoshutumiwa kiungo huyo mkongwe kikosini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS