KMC yazidi kuwawinda Dodoma Jiji VPL

Kocha msaidizi wa KMC, Habibi Kondo akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mazoezi siku ya jana Juni 7, 2021.

Kocha msaidizi wa Timu ya KMC FC , Habibu Kondo amesema kuwa kikosi chake kinaendelea kujifua zaidi na mazoezi wanayoendelea kuyafanya ikiwa ni kujiandaa katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Dodoma Jiji utakaopigwa Juni 17 mwaka huu katika uwanja wa Jamuhuri Jijini Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS