Nikki wa Pili anena baada ya kuapishwa Msanii wa Nikki wa Pili akiapa kuwa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Nickson Simon 'Nikki wa Pili' amefunguka baada ya kuapishwa na Mkuu wa mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge kuwa Mkuu wa wilaya hiyo. Read more about Nikki wa Pili anena baada ya kuapishwa