Dada wa kazi amuua kwa kumnyonga mtoto wa mwajiri

Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha ACP Justine Masejo

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linamshikilia msaidizi wa kazi za ndani ambaye jina lake limehifadhiwa baada ya kumnyonga shingoni hadi kufa mtoto Tifan Osward, mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu mkazi wa eneo la Olasiti, ambaye aliachwa nyumbani na msaidizi huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS