Dk. Mzindakaya afariki dunia, Rais Samia aguswa

Kulia ni Rais Samia na kushoto ni Marehemu Mzindakaya

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Dk. Chrisant Mzindakaya amefariki Dunia jioni ya Jumatatu Juni 7, 2021, katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS