Dk. Mzindakaya afariki dunia, Rais Samia aguswa Kulia ni Rais Samia na kushoto ni Marehemu Mzindakaya Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Dk. Chrisant Mzindakaya amefariki Dunia jioni ya Jumatatu Juni 7, 2021, katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa. Read more about Dk. Mzindakaya afariki dunia, Rais Samia aguswa