Rasmi, Tanzania kupeleka timu 4 kimataifa

Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwania mpira kwenye moja ya michezo ya Ligi Kuu

Shirikisho la soka nchini TFF limethibitisha kuwa Tanzania itawakilishwa na timu nne kwenye michuano ya vilabu barani Afrika smimu ujao wa 2021-22 kwenye michuano ya klabu bingwa na kombe la shirikisho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS