Kajala avunja Ukimya, atoa tamko

Picha ya msanii wa filamu Kajala

Msanii wa filamu Kajala Masanja amevunja ukimya kwa kusema hajafikia hatua ya kukaa mikao isiyokuwa na maadili kama inavyosemekana kwenye baadhi ya picha iliyoeditiwa ikimuonesha yeye na mtoto wake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS