Waziri Ummy asitisha ujenzi wa miradi mitatu

Moja kati ya mradi wa Ujenzi wa kituo cha mabasi Mwenge amnao pia umesimamishwa.

Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mtaa Mhe. Ummy Mwalimu amesimamisha ujenzi wa miradi mitatu katika Halmashauri ya Kinondoni ikiwemo mradi wa ujenzi wa stendi ya Mabasi Mwenge kwa ajili ya uchunguzi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS