Mbunge apongezwa kwa kutopiga sarakasi Bungeni

Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh. Godfrey Kasekenya, na kulia ni Mbunge wa Mbulu vijijini Flatei Massay

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mh. Godfrey Kasekenya, amempongeza Mbunge wa Mbulu Vijijini Flatei Massay, kwa kutopiga sarakasi Bungeni, baada ya serikali kutangaza kuanza ujenzi wa barabara inayotoka Mbulu, Haidom hadi Singida kwa kiwango cha lami.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS