Wakuu wa Wilaya walioachwa uteuzi wa maDC

Pichani kushoto ni Simon Odunga ambaye alikuwa mkuu wa Wilaya ya Rorya mkoani Mara kulia ni Richard Atufigwege Kasesela aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Iringa katikati ni Lengai Ole Sabaya ambaye alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai.

Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa wakuu wa wilaya nchini ambapo amewabadilisha vituo vya kazi baadhi yao na ameingiza sura mpya na kuwarudisha waliowahi kushika nafasi hizo na kuwaondoa wengine watatu katika nafasi zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS