Michango ya kwenye shule ni hiari- Silinde  

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mhe. David Silinde

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mhe. David Silinde, amesema michango inayoruhusiwa katika suala la elimu ni uchangiaji wa hiari na hauhusishi wanafunzi kuzuiwa kuhudhuria masomo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS