Wijnaldum abadili gia angani

Georginio Wijnaldum

Mchezaji Georginio Wijnaldum amebadili mawazo ya kujiunga na Barcelona na sasa anatazamiwa kujiunga na PSG kwa kile kilichoelezwa ni kupandiwa dau mara mbili la mshahara na bonansi zake.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS