Ziyech hana chake Chelsea

Hakim Ziyech akiwa na kombe la Ulaya

Klabu ya soka ya Chelsea imesema ipo tayari kumuuza kiungo wake mshambuliaji Hakim Ziyech kwenye usajili wa dirisha kubwa msimu ujao, licha ya kukaa kwa msimu moja tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS