Alikiba ni 'GOAT'
Ukurasa wa instagram wa lebo ya Kings Music umemtaja msanii Alikiba kama ndiye True Swahili Nation na The Greatest of all time (GOAT) kwani tangu ameanza muziki hajawahi kutumia vionjo vya muziki mwingine tofauti na Bongo Fleva na bado yupo kwenye ubora wake.