"Mimi kama Mume wa Wajane" - Omary Kumbilamoto

Meya wa jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto

Meya wa jiji la Dar es Salaam Mhe. Omary Kumbilamoto amesema wanawake wajane wa Vingunguti wanamchukulia kama mume wao kwa sababu anawaliwaza na wapo karibu naye katika kushiriki shughuli zao na kuwasaidia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS