John McAfee ajiuwa Gerezani

Picha ya John McAfee

Mjasiriamali wa teknolojia ya Eccentric (Eccentric Tech), John McAfee ameripotiwa kujiuwa katika chumba cha Gereza huko Uhispania Jumatano jioni ikiwa ni masaa kadhaa baada ya ripoti kuzuka kwamba atapelekwa Marekani kujibu mashtaka anayokabiliwa nayo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS