Hatma ya Grealish kujulikana baada ya Euro 2020

Jack Grealish

Mabingwa wa England Manchester City bado haijafanya mazungumzo na klabu ya Aston Villa juu ya kutaka kumsajili kiungo wa timu hiyo Jack Grealish, isipokuwa wanaripotiwa kuwa wamepeleka ofa ya kumsajili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS