Wizara zote uhakika kupata asilimia 50 ya bajeti
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewaagiza watendaji wa Wizara hiyo kuhakikisha kuwa hakuna Wizara ama taasisi itakayopelekewa chini ya asilimia 50 ya bajeti yake ya maendeleo katika bajeti ya Serikali iliyooanza kutelezwa kuanzia Julai mosi mwaka huu.

