Wizara zote uhakika kupata asilimia 50 ya bajeti

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewaagiza watendaji wa Wizara hiyo kuhakikisha kuwa hakuna Wizara ama taasisi itakayopelekewa chini ya asilimia 50 ya bajeti yake ya maendeleo katika bajeti ya Serikali iliyooanza kutelezwa kuanzia Julai mosi mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS