Hamilton kusalia Marcedes kwa miaka miwili zaidi

Bingwa wa Dunia wa mbio za magari, Lewis Hamilton akifurahia jambo.

Bingwa wa Dunia wa kuendesha magari ya mashindano ya Langalanga, Lewis Hamilton amesaini Mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kuitumikia Marcedes hadi mwaka 2023.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS