Harmonize aifuata collabo kwa Madiba Msanii Harmonize Mwanamuziki na Boss wa Konde Music Worldwide yupo kwa Madiba na amefanikiwa kuingia studio kutengeneza wimbo na nyota wa muziki Busiswa Gqulu ambaye ndiye mwenyeji wake huko nchini Afrika Kusini. Read more about Harmonize aifuata collabo kwa Madiba