Simba Yanga kukata mzizi wa fitna Kigoma Julai25 Wachezaji wa Simba Timu za Simba na Yanga zinatarajiwa kukutana tarehe 25 Julai 2021, katika fainali ya ’Azam Sports Federation Cup’ katika uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma. Read more about Simba Yanga kukata mzizi wa fitna Kigoma Julai25