Kawhi kukosekana, Clippers na Suns kitaeleweka NBA
Ligi ya kikapu nchini Marekani 'NBA' inatazamiwa kuendelea kwa mchezo mmoja utakaochezwa saa 10 Alfajiri ya kuamkia kesho Juni 25, 2021 ambapo Los Angeles Clippers wanasaka kujiuliza tena mbelel ya Pheonix Suns ambao wapo mbele kwa ushindi wa michezo 2-1.

