Kawhi kukosekana, Clippers na Suns kitaeleweka NBA

Kawhi Leonard akijaribu kuwapiya walinzi wa timu ya Utah Jazz, Rudy Gobert.

Ligi ya kikapu nchini Marekani 'NBA' inatazamiwa kuendelea kwa mchezo mmoja utakaochezwa saa 10 Alfajiri ya kuamkia kesho Juni 25, 2021 ambapo Los Angeles Clippers wanasaka kujiuliza tena mbelel ya Pheonix Suns  ambao wapo mbele kwa ushindi wa michezo 2-1.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS