Yanga kufanya Mkutano Mkuu kesho, Ajenda 12 mezani

Mwenyekiti wa Yanga Dkt. Mshindo Msolla

Klabu ya Yanga ya Dar es salaam itafanya mkutano mkuu wa wanachama wa klabu hiyo kesho Juni 27, 2021. Mkutano huo utafanyika kwenye Ukumbi wa DYCCC, Chang'ombe mkabala na Chuo cha DUCE karibu na uwanja wa Benjamini Mkapa kuanzia saa 4:00 Asubuhi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS