Ridhiwani akanusha Kikwete kuumwa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete Baada ya kuwepo kwa uzushi mitandaoni kuhusu afya ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Kikwete, mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni mtoto wake, amesema mzee wake hana tatizo lolote. Read more about Ridhiwani akanusha Kikwete kuumwa