DC Kisarawe, Nikk wa Pili aanza na wajawazito

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe. Nickson Simon (kushoto) akiwa na mmoja wa wauguzi wa hospitali ya Wilaya hiyo.

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mhe. Nickson Simon ameendesha zoezi la uchangishaji damu katika hospitali ya wilaya ya Kisarawe, ikiwa ni sehemu ya kutatua changamoto kubwa ya vifo vinavyotokana na upungufu wa damu inayowakabili akina mama wajawazito na watoto wakati wa kujifungua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS