Makato kodi ya miamala kuanza baada ya siku 14

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb).

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), amesema fedha zitakazopatikana kwenye tozo ya miamala ya simu na bando za mitandao zitapelekwa kutatua changamoto zililizopo pamoja na kwenye miradi mbalimbali  na si kwa ajili ya kulipa mishahara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS