Sababu ya kubadilisha Uwanja KMC vs Simba VPL
Uongozi wa klabu ya KMC 'Kino Boys' umesema mchezo wake dhidi ya Simba kwenye Ligi kuu Bara utachezwa kwenye dimba la Benjamin William Mkapa Julai 7 mwaka huu baada bodi ya Ligi kurithia ombi la KMC kutumia uwanja huo kama uwanja wake wa nyumbani.

