Sancho, kuweka rekodi ya usajili England
Winga wa kimataifa wa England Jadon Sancho atakuwa mchezaji wa pili mwenye thamani kubwa katika historia ya taifa hilo endapo kama usajili wake wa kujiunga na Manchester United akitokea Dortmund kwa ada ya uhamisho ya pauni million 73, zaidi ya billion 233 kwa pesa za Tanzania utakamilika.

