Dada amtafuta mwanaume waliyefunga ndoa utotoni Picha aliyoiweka Leina kupitia ukurasa wake wa Twitter, ikionesha yeye na Albert wakifunga ndoa Mwanadada anayejiita Leina, ametuma ujumbe kupitia akaunti yake ya twitter akimtafuta mwanaume ambaye alifunga naye ndoa miaka ya nyuma wakiwa watoto. Read more about Dada amtafuta mwanaume waliyefunga ndoa utotoni