Phoenix Suns mabingwa NBA ukanda wa Magharibi

Timu ya Phoenix Suns ikiwa inashangilia ushindi wa kombe la NBA ukanda wa Magharibi baada ya kuifunga Los Angeles Clippers kwa jumla ya michezo 4-2.

Timu ya Phoenix Suns imetwaa ubingwa wa ligi ya kikapu nchini Marekani 'NBA' Ukanda wa Magharibi baada ya kuifunga timu ya Los Angeles Clippers kwa alama 130-103 na kufikisha ushindi wa michezo 4-2 katika michezo sita ya mizunguko ya fainali hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS