Hatma ya Mdude kujulikana leo

Kanda wa CHADEMA Mdude Nyagali

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya leo Juni 28, 2021, inatarajiwa kutoa hukumu ya kesi inayomkabili kada wa CHADEMA, Mdude Nyangali. Mdude anakabiliwa na mashtaka ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin, gramu 23.4.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS